Tume ya Taifa ya Sayansi na
Teknolojia (COSTECH), imeandaa Kongamano
la tano la kitaifa la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu. Kongamano hili ni fursa kwa wataalam wakiwemo watafiti,
wabunifu, watunga sera pamoja na wajasiriamali kukutana na kujadili na kuelezea
mchango wa sayansi, teknolojia na ubunifu katika kufikia taifa la viwanda.
Kongamano la mwaka huu litafanyika kwa muda wa siku tatu, ukumbi wa Kisenga
jengo la LAPF Kijitonyama, jijini Dar es salaam, kuanzia tarehe 23 hadi 25
Agost, 2016. Kusoma zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...