Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), imeandaa Kongamano la tano la kitaifa la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu. Kongamano hili ni fursa kwa wataalam wakiwemo watafiti, wabunifu, watunga sera pamoja na wajasiriamali kukutana na kujadili na kuelezea mchango wa sayansi, teknolojia na ubunifu katika kufikia taifa la viwanda. 

Kongamano la mwaka huu litafanyika kwa muda wa siku tatu, ukumbi wa Kisenga jengo la LAPF Kijitonyama, jijini Dar es salaam, kuanzia tarehe 23 hadi 25 Agost, 2016.  Kusoma zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...