Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Prof.Saber Waheeb,Kiongozi wa Ujumbe wa Madaktari bingwa
kutoka Hospitali ya Chuo Kikuu cha El-Shatby kiliopo Alexandria nchini
Misri,walipofika ikulu mjini Zanzibar jana
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe wa Madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Chuo Kikuu cha El-Shatby kiliopo Alexandria nchini Misri,ukiongozwa na Prof.Saber Waheeb (wa pili kulia) leo ulipofika ikulu Mjini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Prof.Saber Waheeb,Kiongozi wa Ujumbe wa Madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Chuo Kikuu cha El-Shatby kiliopo Alexandria nchini Misri,baada ya mazungumzo walipofika ikulu mjini Zanzibar jana [Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe wa Madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Chuo Kikuu cha El-Shatby kiliopo Alexandria nchini Misri,ukiongozwa na Prof.Saber Waheeb (wa pili kulia) leo ulipofika ikulu Mjini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Prof.Saber Waheeb,Kiongozi wa Ujumbe wa Madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Chuo Kikuu cha El-Shatby kiliopo Alexandria nchini Misri,baada ya mazungumzo walipofika ikulu mjini Zanzibar jana [Picha na Ikulu.]
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...