Waziri wa Katiba na sheria Dkt. Harrison Mwakyembe  akipokea ripoti ukaguzi  wa asasi za kiraia kutoka kwa  Naibu  Katibu  Mkuu wa Wizara ya Waziri wa Katiba na sharia Mhe. Amon Mpanju  jijini Dar es Salaam. Serikali tayari imepanga kuzifuta Asasi za kiraia takribani 5,000 kutokana na Sababu Mbalimbali ikiwemo uendeshaji wa asasi hizo usiofuata taratibu za Usajili.
 Kaimu Afisa Mtendaji  Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA)  Bi. Emmy Kalomba Hudson akifafanua jambo akiwa na  Waziri wa Katiba na sheria Dkt. Harrison Mwakyembe  jijini  Dar es Salaam.
Waziri wa Katiba na sheria Dkt.Harrison Mwakyembe  akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani katika mkutano wa kupokea ripoti ya ukaguzi kutoka kwa Taasisi zote zinazofanya usajili wa asasi za kiraia leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Naibu  Katibu  Mkuu wa Wizara ya Waziri wa Katiba na sharia Mhe. Amon Mpanju.
Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...