Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Utamaduni katika Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Bibi. Lily Beleko akiwahutubia wageni waalikwa wakiwemo Mapadre, Masista pamoja na Viongozi mbalimbali wakati wa Uzinduzi wa Kamusi ya Ukristo uliofanyika Baraza Katoliki la Maaskofu Tanzania (TEC) Kurasini Jijini Dar es Salaam 17 Agosti, 2016.
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Padre Ubadius Kidavuri akiwahutubia wageni waalikwa wakiwemo Mapadre, Masista pamoja na Viongozi mbalimbali wakati wa Uzinduzi wa Kamusi ya Ukristo uliofanyika Baraza Katoliki la Maaskofu Tanzania (TEC) Kurasini Jijini Dar es Salaam 17 Agosti, 2016.
Mwandishi wa Kamusi ya Ukristo, Padre Jorad Nyenyembe akiwahutubia wageni waalikwa wakiwemo Mapadre, Masista pamoja na Viongozi mbalimbali wakati wa Uzinduzi wa Kamusi ya Ukristo uliofanyika Baraza Katoliki la Maaskofu Tanzania (TEC) Kurasini Jijini Dar es Salaam 17 Agosti, 2016.
Katibu Mtendaji Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) Dkt. Selemani Sewangi akiwahutubia wageni waalikwa wakiwemo Mapadre, Masista pamoja na Viongozi mbalimbali wakati wa Uzinduzi wa Kamusi ya Ukristo uliofanyika Baraza Katoliki la Maaskofu Tanzania (TEC) Kurasini Jijini Dar es Salaam 17 Agosti, 2016.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...