Malkia wa Mipansho na Mwanamuziki Mkongwe wa Taarab, Bi. Khadija Kopa akizikonga nyoyo za mashabiki wake waliohudhulia hafla ya uzinduzi wa bidhaa mpya ya Mafuta ya nywele aina ya Aliyana ya Kampuni ya Darling Group, iliyofanyika jana kwenye Kiota cha Akemi, Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi
wa Utamaduni toka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bi.
Leah Kihimbi akizungumza kwa niaba ya Mgeni Rasmi katika hafla ya uzinduzi wa bidhaa mpya ya Mafuta ya nywele aina ya Aliyana ya Kampuni
ya Darling Group, iliyofanyika jana kwenye Kiota cha Akemi, Jijini Dar
es salaam.
Wawakilishi Kampuni ya Darling wakingumza kuhusiana na bidhaa yao hiyo mpya.
Muigizaji wa filamu nchini, Jackieline Wolper akiwa sambamba na Mwanamitindo, Martin Kadinda pamoja na Mdau wakiyasakata magoma katika hafla hiyo, iliyofanyika jana kwenye Kiota cha Akemi, Jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...