Mrembo wa Dodoma 2016 Anna Nitwa akikabidhi sehemu ya msaada aliotoa kwa Bibi Bashura Mussa ambaye anaishi Mtaa wa Muungano Manispaa ya Dodoma. Bashura na wajukuu wake wanaishi kwa kuokota katika jalala la Mbwanga Manispaa ya Dodoma.
Mrembo wa Dodoma 2016 Anna Nitwa akisalimiana na baadhi ya wajane na yatima alipowatembelea katika Mtaa wa Bochela Manispaa ya Dodoma jana. Mrembo huyo alikwenda kukabidhi vyakula kwa wahitaji hao pamoja na vitu mbalimbali.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...