Naibu Waziri wa Afya wa Zanzibar, Harusi Saidi Suleiman (wapili kushoto) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkunga wa Kituo cha Afya cha Kiwengwa, Khadija Ali Juma Wakati alipofanya ziara katika vituo mbalimbali vya Afya Kaskazini B Unguja.
Naibu Waziri wa Afya wa Zanzibar,  Harusi Saidi Suleiman (katikati) akiangalia shimo la Uchomwaji Taka linalotumiwa na Kituo cha Afya cha Kiwengwa baada ya kufanya ziara katika vituo vya Afya Kaskazini B Unguja .kushoto ni Mkunga wa Kituo cha Afya Kiwengwa Khadija Ali Juma.
Naibu Waziri wa Afya wa Zanzibar, Harusi Saidi Suleiman wakwanza (kulia) akimsikiliza Mkuu wa Kituo cha Bumbwini Misufini Dk, KHamisi akitoa maelezo ya Kumkaribisha mara baada ya kufika katika Kituo hicho Mkoa wa Kaskazini B Unguja.
Mhudumu wa Afya wa Kijiji cha Bubwini Misufini Riziki Kiongwe Debe akitoa maelezo kuhusu changamoto zinazo wakabili kwa Naibu Waziri wa Afya wa Zanzibar, Harusi Saidi Suleiman (Hayupo pichani) mara baada ya kufika katika Kituo kilichopo kijijini hapo Mkoa wa Kaskazini B Unguja .
Naibu Waziri wa Afya wa Zanzibar, Harusi Saidi Suleiman akifafanua jambo alipokutana na Wauguzi wa kituo cha Afya cha Bumbwini Misufini Mkoa wa Kaskazini B Unguja.kulia ni Afisa wa Afya Wilaya Mosi Kali Makame. PICHA NA MIZA OTHMAN-MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...