Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Dk. Leonard Masale ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza akizungumza na waandishi wa habari katikabanda la NSSF mara baada ya kufungua rasmi maonesho ya 11 ya Biashara ya Afrika Masharikialipotembelea banda la NSSF.
Mwakilishi wa Meneja Kiongozi NSSF Mwanza, Aloyce Limu akizungumza na waandishi wa habari.
Ofisa Mafao wa NSSF, Farida Mkande akitoa elimu kuhusu mafao ya NSSF.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...