Shirika la ndege la Rwanda (Rwandair) linataraji kuingiza ndege zake mbili mpya aina ya Airbus A330 zenye uwezo wa kubeba abiria 276. akizungumza ofisini kwake jijini Dar es salaam, Meneja mkazi wa Shirika hilo hapa nchini, Ibrahim Bukenya amesema kuwa ndege hizo zitaanza safari zake kuelekea miji ya Bombay nchini India na Guanghzou nchini China zikitokea Mjini Kigali Rwanda. ndege hizo zitawasili kabla ya mwisho wa mwaka huu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...