Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora imetoa orodha ya majina ya Taasisi ambazo hazijawasilisha Taarifa ya Watumishi Hewa katika Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora. Serikali imetoa tarehe ya mwisho ya kuwasilisha ambayo ni 26 Agosti, 2016.

Mara baada ya tarehe hiyo, Ofisi ya Rais-Utumishi  itawasilisha taarifa rasmi ya watumishi hewa kwa Mheshimiwa Rais ikiwa na orodha na majina ya Taasisi ambazo zimewasilisha taarifa ya watumishi hewa na na zile ambazo hazijawasilisha taarifa hizo.

Ifuatyo ndio orodha ya Taasisi hizo:-

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...