Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoka jimbo la Tanguu Zanzibar Mhe. simai Mohamed Said akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mhe Mussa Hassan Zungu na Mh Raphael Chegeni huko Mauritius katika mkutano wa 47 ya Nchi za Jumuiya za Madola kanda ya Africa.
 Spika wa Baraza la Wawakilishi Mh Zubeir Maulid Zanzibar akitembelea ofisi ya Meya wa Mji Mkuu wa Mauritius Port Louis Mstahiki Oumar Kholeegan na kumualika kuja kuona mji wa Zanzibar ambao una sura ya mfanano na historia kama yao. Kulia ya Meya ni Mh Simai Mohammed Said, Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoka Jimbo la Tunguu Zanzibar.
 Mh Zubeir Maulid, Spika wa Baraza la Wawakilishi akiambatana na wageni mbali mbali pamoja Mh Simai 'Mpakabas' katika kutembelea kiwanda cha kufulia umeme kwa kutumia mabaki ya miwa.
Spika wa Baraza la Wawakilishi Mh Zubeir Maulid, Mhe. simai Mohamed Said pamoja na Mhe Maria Ndilla Kangoye Mbunge wa Jamhuri ya Muungano katika ziara ya matembezi ya kuutembea mji mkuu wa Mauritius, Port Loius.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...