Wateja waendelea kujiunga katika mtandao wa TTCL 4G- LTE katika maonesho ya wiki ya huduma za Kifedha na Uwekezaji, yanayofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es salaam. 
Katika maonesho hayo, TTCL  inatoa huduma za laini za 4G, na vifaa vya 4G LTE, kama vile Routers, Mi-Fi, Modemu.  
Wafanyakazi wa TTCL wakihudumia wateja katika Maonesho ya wiki ya huduma za Kifedha na Uwekezaji, yanayofanyika katika viwanja vya mnazi Mmoja, jijini Dar es salaam.

 Wateja wa TTCL katika Maonesho ya wiki ya huduma za Kifedha na Uwekezaji, yanayofanyika katika viwanja vya mnazi Mmoja, jijini Dar es salaam.
  Wateja wa TTCL katika Maonesho ya wiki ya huduma za Kifedha na Uwekezaji, yanayofanyika katika viwanja vya mnazi Mmoja, jijini Dar es salaam.
Mteja akioneshwa namna ya kujiunga na mtandao wa TTCL 4G- LTE katika Maonesho ya wiki ya huduma za Kifedha na Uwekezaji, yanayofanyika katika viwanja vya mnazi Mmoja, jijini Dar es salaam.
Mteja akipewa maelezo ya namna ya kujiunga na mtandao wa TTCL 4G- LTE katika Maonesho ya wiki ya huduma za Kifedha na Uwekezaji, yanayofanyika katika viwanja vya mnazi Mmoja, jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...