Mkuu wa Wakurugenzi wa Kampuni ya Alarko kutoka nchini Uturuki Bw. Izzet Garih (wa kwanza kushoto) akizungumzia  kuhusu ushirikiano baina ya kampuni hiyo na sekta ya mawasiliano,  na (wa kwanza kulia) ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayesimamia  sekta ya Mawasiliano Prof. Faustin Kamuzora. 

Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Dkt. Kamugisha Kazaura akizungumza  wakati wa kikao  cha  Ushirikiano baina Sekta ya Mawasiliano na Kampuni ya Alarko.
Picha ya pamoja baada ya mazungumzo.

Mwakilishi Mkazi wa shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) Dkt. Regine Qualmann (katikati) akizungumza jinsi wanavyoitumia TEHAMA  katika kufikisha huduma, (kushoto) ni Katibu Mkuu wa Wizara  ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayesimamia sekta ya Mawasiliano Prof. Faustin Kamuzora na (Kulia) ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Mhandisi Dkt. Maria Sasabo. 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayesimamia sekta ya Mawasiliano Prof. Faustin Kamuzora (kushoto) akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa shirika la maendeleo la Ujerumani (GIZ) Dkt. Regine Qualmann kuhusu ushirikiano baina ya Wizara  na  shirika hilo katika upande wa Tehama . 

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, 

Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...