Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao (kulia) akizungumza kwenye uzinduzi wa promosheni ya ‘Jiongeze na M-Pawa’ inayoendeshwa na kampuni yake ikishirikiana na Benki ya CBA, kwenye hafla iliyofanyika leo Mlimani City jijini Dar es Salaam.Ili kushiriki kwenye promosheni hiyo, mteja wa Vodacom Tanzania anatakiwa kujiwekea akiba katika akaunti yake ya M-Pawa kwenye simu yake katika kipindi cha promosheni.Jumla ya shilingi milioni 300 zimetengwa kwa ajili ya promosheni hiyo na mshindi mmoja wa droo kubwa atajishindia kitita cha shilingi milioni 100.Washindi wa wiki watazawadiwa shilingi milioni 20 na washindi wa siku watazawadiwa shilingi milioni moja.Promosheni hiyo ambayo imeanza leo itadumu kwa kipindi cha wiki sita na itafikia kilele mwishoni mwa Mwezi Oktoba, 2016.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao (wa tatu kushoto) akiwa na maofisa waandamizi wa kampuni hiyo, wakionyesha mabango kwenye uzinduzi wa promosheni ya ‘Jiongeze na M-Pawa’ inayoendeshwa na kampuni yake ikishirikiana na Benki ya CBA, kwenye hafla iliyofanyika leo Mlimani City jijini Dar es Salaam.Ili kushiriki kwenye promosheni hiyo, mteja wa Vodacom Tanzania anatakiwa kujiwekea akiba katika akaunti yake ya M-Pawa kwenye simu yake katika kipindi cha promosheni.Jumla ya shilingi milioni 300 zimetengwa kwa ajili ya promosheni hiyo na mshindi mmoja wa droo kubwa atajishindia kitita cha shilingi milioni 100.Washindi wa wiki watazawadiwa shilingi milioni 20 na washindi wa siku watazawadiwa shilingi milioni moja.Promosheni hiyo ambayo imeanza leo itadumu kwa kipindi cha wiki sita na itafikia kilele mwishoni mwa Mwezi Oktoba, 2016.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao (kulia) na Mkurugenzi wa Mauzo na Usambazaji wa kampuni hiyo, Hassan Saleh (kushoto) wakizindua rasmi msafari wa magari kwenda mikoa mbalimbali nchini kutoa elimu juu ya promosheni ya ‘Jiongeze na M-Pawa’ inayoendeshwa na kampuni yake ikishirikiana na Benki ya CBA, kwenye hafla iliyofanyika leo Mlimani City jijini Dar es Salaam.Ili kushiriki kwenye promosheni hiyo, mteja wa Vodacom Tanzania anatakiwa kujiwekea akiba katika akaunti yake ya M-Pawa kwenye simu yake katika kipindi cha promosheni.Jumla ya shilingi milioni 300 zimetengwa kwa ajili ya promosheni hiyo na mshindi mmoja wa droo kubwa atajishindia kitita cha shilingi milioni 100.Washindi wa wiki watazawadiwa shilingi milioni 20 na washindi wa siku watazawadiwa shilingi milioni moja.Promosheni hiyo ambayo imeanza leo itadumu kwa kipindi cha wiki sita na itafikia kilele mwishoni mwa Mwezi Oktoba, 2016.
Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakihudhuria uzinduzi wa promosheni ya ‘Jiongeze na M-Pawa’ inayoendeshwa na kampuni hiyo ikishirikiana na Benki ya CBA, kwenye hafla iliyofanyika leo Mlimani City jijini Dar es Salaam.Ili kushiriki kwenye promosheni hiyo, mteja wa Vodacom Tanzania anatakiwa kujiwekea akiba katika akaunti yake ya M-Pawa kwenye simu yake katika kipindi cha promosheni.Jumla ya shilingi milioni 300 zimetengwa kwa ajili ya promosheni hiyo na mshindi mmoja wa droo kubwa atajishindia kitita cha shilingi milioni 100.Washindi wa wiki watazawadiwa shilingi milioni 20 na washindi wa siku watazawadiwa shilingi milioni moja.Promosheni hiyo ambayo imeanza leo itadumu kwa kipindi cha wiki sita na itafikia kilele mwishoni mwa Mwezi Oktoba, 2016.

Kampuni ya Vodacom Tanzania kwa kushiriana na benki ya CBA imezindua promosheni kubwa ambayo itawawezesha watumiaji wa huduma ya M-Pawa kujishindia fedha taslimu kutoka kwenye kitita cha milioni 300 zilizotengwa kwa ajili ya promosheni hii na mshindi mmoja wa zawadi kubwa atajishindia kitita cha shilingi milioni 100.Promosheni hii inayojulikana kama ‘Jiongeze na M-Pawa’ itatoa washindi wa siku wa shilingi milioni 1/- kila mmoja,washindi wa wiki  shilingi milioni 20/- kila mmoja na wateja wapatao 200 wataongezewa mara mbili ya akiba zao walizojiwekea kwenye akaunti zao za M-Pawa kila siku.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...