Jumatatu jioni  umoja wa familia za Watanzania waishio UK almaarufu kama THE BIG FAMILY walitembelea nyumbani kwa mdau mwandamizi wa Globu ya Jamii Chris Lukosi (aliyekaa chini)  na mkewe Adela Lukosi huko Reading, Uingereza, kuhani msiba wa  Mama mkwe wake Bibi Mkami, aliyefaririki tarehe Agosti 2, 2016 jijini   Dar es salam  na kuzikwa tarehe Agoisti 4, 2016 kijijini Image mkoani Iringa. 
 Adela Lukosi (aliyekaa chini akiwa na THE BIG FAMILY waliofika kuhani msiba wa  Mama yake mzazi  Bibi Mkami, aliyefaririki tarehe Agosti 2, 2016 jijini   Dar es salam  na kuzikwa tarehe Agoisti 4, 2016 kijijini Image mkoani Iringa
 THE BIG FAMILY wakibadilishana mawazo kwa wafiwa
  THE BIG FAMILY wakiwa  kwa wafiwa
THE BIG FAMILY wakiendeleza utamaduni wa kuwa pamoja wakati wa shida na raha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...