Jumatatu jioni umoja wa familia za Watanzania waishio UK almaarufu kama THE BIG FAMILY walitembelea nyumbani kwa mdau mwandamizi wa Globu ya Jamii Chris Lukosi (aliyekaa chini) na mkewe Adela Lukosi huko Reading, Uingereza, kuhani msiba wa Mama mkwe wake Bibi Mkami, aliyefaririki tarehe Agosti 2, 2016 jijini Dar es salam na kuzikwa tarehe Agoisti 4, 2016 kijijini Image mkoani Iringa.
Adela Lukosi (aliyekaa chini akiwa na THE BIG FAMILY waliofika kuhani msiba wa Mama yake mzazi Bibi Mkami, aliyefaririki tarehe Agosti 2, 2016 jijini Dar es salam na kuzikwa tarehe Agoisti 4, 2016 kijijini Image mkoani Iringa
THE BIG FAMILY wakibadilishana mawazo kwa wafiwa
THE BIG FAMILY wakiwa kwa wafiwa
THE BIG FAMILY wakiendeleza utamaduni wa kuwa pamoja wakati wa shida na raha.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...