Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia Nchini, Bi. Bella Bird kabla ya mazungumzo yao, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Agosti 18, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Maajliwa akizungumza na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia Nchini, Bi. Bella Bird, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Agosti 18, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...