Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
Moses Nnauye (wa pili kushoto) akizungumza na viongozi wa Umoja wa Vyama vya
Waalimu wa nchi za Kusini mwa Afrika (SATO) katika ufunguzi ya mashindano ya
michezo ya Umoja huo uliofanyika Agosti 30,2016.
Katibu Mkuu wa Chama cha Waalimu Tanzania (CWT) Bw. Yahya
Msugwa(kulia) akifafanua jambo kwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo
Mhe. Nape Moses Nnauye (wa pili kushoto) walipokutana katika ufunguzi wa
mashindano ya michezo ya Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi za Kusini mwa
Afrika (SATO) uliofanyika Agosti 30,2016.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akimsikilza Rais wa Chama cha Waalimu Tanzania (CWT) Bw. Gratian Mkoba walipokuwa wakijadiliana maswala mbalimbali ya kimichezo katika ufunguzi wa mashindano ya michezo ya Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi za Kusini mwa Afrika(SATO) uliofanyika Agosti 30,2016.
Rais wa Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi za Kusini
mwa Afrika(SATO) Bw. Henry Kapenda akielezea jambo kwa Waziri wa Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (wa pili kushoto) walipokutana
katika ufunguzi wa mashindano ya michezo ya Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi
za Kusini mwa Afrika (SATO) uliofanyika Agosti 30,2016.
PICHA na Raymond
Mushumbusi WHUSM
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...