Picha namba 2469 JPG, Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange (kulia), akimkabidhi zawadi ya Nembo ya JWTZ Waziri wa Ulinzi wa Canada, Mhe. Harjit Singh Sajjan (kushoto) ofisini kwake Makao Makuu Upanga jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ulinzi wa Canada Mhe. Harjit Singh Sajjan (kushoto) akifurahia zawadi ya Kinyago alichokabidhiwa na mwenyeji wake, Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange (kulia) alipomtembelea ofisini kwake Upanga jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...