Salaam Ankal,
Leo nimepita maeneo ya Palm Beach wakati nikitokea mjini muda wa SAA 12:15 asubuhi Nimeikuta gari hii aina ya Altezza au Subaru (maana haieleweki kutokana na ilivyoumia) likiwa halitamaniki, inaelezwa kuwa limegonga nguzo ya taa za barabarani. Haijafahamika kulikuwa na watu wangapi na hali zao zikoje mpaka sasa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...