Salaam Ankal, 
Leo nimepita maeneo ya Palm Beach wakati nikitokea mjini muda wa SAA 12:15 asubuhi Nimeikuta gari hii aina ya Altezza au Subaru (maana haieleweki kutokana na ilivyoumia) likiwa halitamaniki, inaelezwa kuwa limegonga nguzo ya taa za barabarani. Haijafahamika kulikuwa na watu wangapi na hali zao zikoje mpaka sasa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...