Katibu Mkuu wa Taifa Tanzania Disc Music Associatiaon (TDMA) Bw Asanterabbi Mtaki (kulia) akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusiana na maandalizi ya Tamasha la Salsa in Dar 2016 linalotarajiwa kufanyika Jumamosi Octoba 1, 2016 katika ukumbi wa Highspirit lounge katika jengo la IT Plaza jijini Dar es salaam ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa balozi wa Cuba nchini Mhe. Jorge Luis Lopez  Tormo. Katikati ni DJ Charles Kandulu, kushoto  Naibu Makamu Mwenyekiti wa TDMA  DJ John Peter Pantalakis
 Naibu Makamu Mwenyekiti  wa TDMA  DJ John Peter  Pantalakis (kushoto) na  wakionesha CD  zenye nyimbo za Salsa na charanga akiwa na DJ Charles Kandulu, leo jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Taifa Tanzania Disc Music Associatiaon (TDMA) Bw Asanterabbi Mtaki  (kulia) akicheza  charanga na uongozi wa Tamasha la Salsa in Dar 2016 Dj John Peter Pantalakisa (kushoto) na Dj Ebony Moualim leo jijini Dar es Salaam.
Picha na Emmanuel Massaka,Glob ya jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...