Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Barclays Tanzania, Abdi Mohamed
(kushoto), akizungumza jijini Dar es Salaam leo, wakati wa uzinduzi wa
proram ya ReadytoWork inayolenga kuwapa elimu wanafunzi wa elimu ya
juu kujiandaa na ajira au kujiajiri. Wa tatu kushoto ni Mkuu wa Elimu
ya Juu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Lazaro Malili.
 Mkuu wa Elimu ya Juu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,
Lazaro Malili (kushoto), akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa
program ya ReadytoWork ya Benki ya Barclays inayolenga kuwapa elimu
wanafunzi wa elimu ya juu kujiandaa na ajira au kujiajiri uliofanyika
jijini Dar es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...