Mkuu wa wilaya ya Iringa Mhe Richard Kasesela akifungua kwa ukakamavu mafunzo ya Mgambo kijiji cha Mboliboli kwenye tarafa ya Pawaga. Kikosi hiki kitashirki kikamilifu katika kupambana na ujangili. zaidi ya washiriki 357 wamejiunga na mafunzo ya mgambo wilaya ya Iringa. Baada ya Mkuu wa wilaya kuhamasisha vijana wajiunge na mafunzohayo
Mkuu wa wilaya ya Iringa Mhe Richard Kasesela akipiga jalamba wakati  akifungua kwa ukakamavu mafunzo ya Mgambo kijiji cha Mboliboli kwenye tarafa ya Pawaga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...