Steps Intertainment inazindua kwa mara ya kwanza inazindua filam ya karabati  robo katika kituo cha TV cha SIBUKA katika channel 111 na kwenye king’amuzi cha Startimes Septemba 23 mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Msanii maarufu wa Filamu nchini, Jacob Steven a.k.a JB amesema kuwa filamu hiyo ina ubora wa viwango vya filamu.
Amesema kuwa wadau waipokee kazi hiyo wataburudika kutokana na umahiri uliotumika katika kuandaa filamu hiyo.
Aidha amesema kuwa wasanii waliohusika wana majina ambao wamefanya filamu hiyo kuwa bora wake kuanzia kwa jina karabati robo. Jb amewataka  mashabiki wake kuendelea kupokea kazi zake ikiwemo hiyo na kazi zingine .

Msaani maarufu  wa Filamu, Jacob Steven  a.k.a JB akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaa juu ya uzninduzi wa filamu yake ya karabati robo iliofanyika jijini Dar es salaam leo, Kushoto ni Mratibu wa Kitengo kungalia kazi za wasanii wa Startimes, Paulina Kimweli na kulia ni Meneja wa Steps Intertainment, Myovela Mfwaisa Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...