LIGI KUU YA VODACOM MECHI SITA KESHO
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu wa 2016/2017 inatarajiwa kuendelea kesho Jumamosi Septemba 17, 2016 kwa michezo sita ambayo itazikutanisha timu pinzani 12 katika viwanja sita tofauti.
Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini
MALINZI AMPONGEZA RAIS MPYA UEFA
Rais Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amempongeza Alexander Ceferin kuchaguliwa kuwa Rais Mpya wa Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Ulaya (UEFA) katika uchaguzi mkuu uliofanyika jijini Athens nchini Ugiriki Jumatano Septemba 14, 2014.
Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...