Jua jinsi linavyoonekana kwa kutumia karatasi maalumu ambayo unaweza kuona jua katika madhari mbalimbali.
 Kikundi cha ngoma wakitumbuiza katika eneo ambapo kupatwa kwa jua kumetokea na kuonekana kwa kutumia kifaa maalumu Rujewa Mkoani Mbeya.
Biashara zikiendela katika eneo la Rujewa Mkoani Mbeya kama ijulikanavyo Mkoa wa Mbeya kwa Kulima Mpunga hapo biashara ya Mchele ikiendelea.
Mamalishe nao hawakusita kuona fursa iliyojitokeza katika eneo Rujewa Mkoani Mbeya kuhudumia wananchi wanaoenda kutazama kupatwa kwa jua.
Mwananchi akijiandaa kuanalia jua kwa kutumia karatasi maalumu.
Picha na Fadhili Atick na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...