Katika kuunga mkono juhudi za serikali za kuwasaidia wahanga wa tetemeko la ardhi lililotokea Septemba, 10 mkoani Kagera,Hubert Kairuki Memorial University Hospital Imetoa mchango mdogo wa madawa kwaajili ya Wahanga wa tetemeko la ardhi.
 Dr Muganyizi Kairuki Naibu Mkurugenzi wa hospitali ya Hubert Kairuki Memorial University kabla ya kukabidhi msaada wa mdawa kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Generali Mstaafu Salim Kijuu.
Pichani kushoto anaonekana Dr Muganyizi Kairuki Naibu Mkurugenzi wa hospitalI hiyo wakati akikabidhi Masada huo kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Generali Mstaafu Salim Kijuu
#Bukobawadau#TetemekoBukoba

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...