Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Injinia Everist Ndikilo akikata utepe wakati wa hafla ya kukabidi mtambo wa kisasa unaotengeneza hewa ya oxygen kwa Hospitali ya Tumbi, Kibaha Mkoani Pwani. Mtambo huo umetolewa na kampuni ya Oxymat AS- Denmark kwa kushilikiana na wasambazaji KaMpa health products Ltd, Tanzania na Pulse health care Limited, Kenya.
 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Injinia Everist Ndikilo akipatiwa maelezo ya namna mashine hizo zinavyofanya kazi kwa binadamu.
 Sehemu ya mashine hizo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...