Kiongozi wa Ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 71 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Mhe. Waziri Augustine Mahiga (Mb) akipewa taarifa na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania Katika Umoja wa Mataifa Balozi Tuvako Manongi kuhusu majadiliano ya Baraza Kuu la 71 yanayoanza Septemba 20 pamoja na mikutano ya pembezoni ambayo kiongozi huyo wa ujumbe wa Tanzania atapashwa kuhudhuria na kushiriki ikiwa ni pamoja na kulihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Mkutano huo ulihudhuriwa pia na Balozi Wilson Masilingi, Balozi wa Tanzania Nchini Marekani pamoja na Maofisa kama wanavyoonekana pichani.
Kiongozi wa Ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 71 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Mhe. Waziri Augustine Mahiga (Mb) akipewa taarifa na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania Katika Umoja wa Mataifa Balozi Tuvako Manongi kuhusu majadiliano ya Baraza Kuu la 71 yanayoanza Septemba 20 pamoja na mikutano ya pembezoni ambayo kiongozi huyo wa ujumbe wa Tanzania atapashwa kuhudhuria na kushiriki ikiwa ni pamoja na kulihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Mkutano huo ulihudhuriwa pia na Balozi Wilson Masilingi, Balozi wa Tanzania Nchini Marekani pamoja na Maofisa kama wanavyoonekana pichani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...