Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Eng. Joseph Nyamhanga (Wa tatu kulia) akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Kivuko cha Mv. Magogoni mara baada ya ukarabati wake kukamilika, Jijiji Dar es salaam.
Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Eng. Manase Ole Kujan (Kushoto), akitoa maelezo ya moja ya kifaa kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano(Sekta ya Ujenzi) Eng. Joseph Nyamhanga (kulia) mara baada ya ufunguzi wa Kivuko cha Mv. Magogoni.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano(Sekta ya Ujenzi), Eng. Joseph Nyamhanga (Wa nne kushoto)akitoa maelekezo kwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Eng.Manase Ole Kujan mara baada ya ufunguzi wa kivuko cha Mv. Magogoni.
Muonekano wa Kivuko cha Mv. Magogoni kikiwa majini mara baada ya ukarabati wake kukamilika.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...