Mkuu wa Watangazaji ZBC Radio Suzan Kunambi akitoa maelezo kuhusiana na Utangazaji katika ziara ya Makatibu Wakuu walioifanya katika shirika la ZBC Radio Zanzibar.
 Katibu Mkuu Kiongozi Abdulhamid Yahya Mzee kulia akiwapamoja na Makatibu wakuu mbalimbali wakisikiliza maelezo kutoka kwa Fundi Mkuu wa ZBC Radio Ali Aboud Twalibu kushoto katika ziara walioifanya ili kutatua changamoto mbalimbali zinazokabili shirika hilo Zanzibar.
 Fundi Mkuu wa ZBC Radio Ali Aboud Twalibu akiwaonesha jambo makatibu Wakuu  katika sehemu ya kuhifadhia CD mbalimbali walipofanya ziara katika shirika la ZBC Radio Zanzibar.
Katibu Mkuu Kiongozi Abdulhamid Yahya Mzee akiwa pamoja na Makatibu Wakuu wakimsikiliza Mkuu wa Chumba cha Kompyuta Zanzibar Leo Rabia Bakari walipofanya ziara katika Ofisi za Gazeti hilo Rahaleo Zanzibar.
PICHANA YUSSUF SIMAI /MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...