Mama Hatia na wanae, wajukuu na vitukuu
 Watoto wa marehemu mzee Isaya Innocent Hatia tumempoteza mpendwa mama yetu mpendwa Mwalimu Agnes Ndembo Hatia kilichotokea hospitali ya Regency  jana jumamamosi mchana. Mama yetu alikuwa nguzo pekee iliobakia nasi baada ya kufariki baba yetu Mzee Isaya Innocent Hatia mwaka 2011. Tunamshukuru Mungu sana kwa upendo wake kwa mama yetu aliempa nguvu ya kuishi miaka tisini na sasa amempenda zaid mama yetu, bibi yetu na amempumzisha usingizi 

wa milele na milele Ameni

Mwalimu Agnes Ndembo Hatia amefundisha watu wengi sana darasa la kwanza
tangia miaka ya hamsini hadi alipostaafu Tabora, Uhuru shule yamsingi.
Mama, ametuacha watoto wake Christina wa USA, Geofrey wa Namibia, Mwl Mark Hatia wa Tambaza shule ya secondary, Bernadetta wa Dar, Isaya wa Finland, Costancia wa Kibaha, na Oscar mdogo wetu wa mwisho. Ameacha wajukuu, na vitukuu wengi ambao ni watoto na wajukuu zetu sisi watoto wake pamoja na dada
zetu marehemu Joyce Hatia na Mwalimu Cecilia Hatia. 
Picha zinaonyesha mama Hatia mwaka 1966 akiwa na Constacia ambae picha yake pembeni ni Costancia alivyo sasa, na zingine ni
Kwa taarifa za maandalizi na ratiba piga simu zifuatazo. 0653 763 201 Kilian Kamota,
0755 333 948 Dick Hatia, 0788 627 430 Ibra Yunus, na 0763 833 893 Solmon.
 BWANA ALITOA, BWANA AMETWAA. TUMSIFU YESU KRISTO: AMEN



Mama Hatia mwaka 1966 akiwa na Constacia ambae picha yake pembeni ni Costancia
alivyo sasa,

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...