Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Usalama na Mazingira wa Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Melania Sangeu akitoa maelekezo kwa Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), mkoa wa Manyara Eng. Bashiri Rwesingisa alipokagua usalama wa mazingira katika miradi ya ujenzi wa barabara mkoani Manyara.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Usalama na Mazingira(mazingira), wa Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Melania Sangeu akitoa maelekezo kwa Eng. Peter Bululu ambaye ni mhandisi wa miradi ya barabara mkoani Manyara katika eneo la mpaka wa mkoa wa Manyara na Singida alipokagua usalama wa mazingira ya barabara hiyo. 

 Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Usalama na Mazingira(mazingira), wa Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Melania Sangeu akitoa maelekezo kwa Eng. Peter Bululu ambaye ni mhandisi wa miradi ya barabara mkoani Manyara kuhusu umuhimu wa kutochimba mawe na mchanga katika meneneo yaliyo karibu na miundombinu ya barabara, umeme, mwasiliano na maji ili kulinda usalama wa watu, mazingira na miundombinu yenyewe.

Wakazi wa Bombab-Katesh Hanang mkoani Manyara wakibomoa mwamba ili kushusha mawe katika eneo la machimbo ya mawe ambalo ni hatari kwa afya ya mazingira na usalama wa watu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...