Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Dkt. Binilith Satano Mahenge(wanne kutoka kushoto)akikata utepe mwishoni mwa wiki kuashiria uzinduzi rasmi wa Duka jipya la Vodacom Tanzania lililopo songea mjini.Wengine katika picha ni baadhi ya wafanya kazi wa kampuni hiyo. 
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Dkt. Binilith Satano Mahenge,akikata keki ikiwa ni ishara ya kuzindua rasmi Duka jipya la Vodacom Tanzania lililopo songea mjini mwishoni mwa wiki. 
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Dkt. Binilith Satano Mahenge(kulia)akipokea zawadi toka kwa Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda ya Ruvuma, Amos Vuhahula(kushoto) mara baada ya kuzindua rasmi Duka jipya la kampuni hiyo lililopo songea mjini mwishoni mwa wiki.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Dkt. Binilith Satano Mahenge,akigonganisha glasi na baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania,Baada ya kuzindua rasmi Duka jipya la Vodacom Tanzania lililopo songea mjini mwishoni mwa wiki. 
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Dkt. Binilith Satano Mahenge,akisisitiza jambo wakati wa hafla fupi ya uzindua wa Duka jipya la Vodacom Tanzania lililopo songea mjini mwishoni mwa wiki.
Hili ndilo duka jipya la Vodacom Tanzania lililopo Songea mjini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...