Mkurugenzi wa Tiba katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Hedwiga Swai LEO akipokea msaada wa paketi 50,000 za pampers kutoka kwa Ofisa Habari wa GSM Foundation, Khalfan Kiwamba (kulia). Msaada huo ni kwa ajili ya watoto waliolazwa kwenye hospitali hiyo na una thamani ya Sh milioni 25,000.

Paketi za pampers zikiwa katika hospitali hiyo LEO.
Mkurugenzi wa Tiba katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Hedwiga Swai akizungumza na waandishi wa habari LEO baada ya kupokea msaada huo LEO.
Picha na John Stephen, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...