Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako, kifurahia jambo wakati alipokutana na Mwenyekiti wa “Nathan Mpangala Foundation (NMF),” ambaye pia ni mchora vibonzo, Nathan Mpangala (katikati) na Mkurugenzi wa “Education Improvement Trust Fund (EITF),” Joseph Chikaka, Jumamosi iliyopita mjini Dodoma. NMF yenye lengo la kuwawezesha vijana kujifunza mambo mbalimbali kupitia sanaa kwa kushiriki kwa vitendo ilitumia ziara hiyo kujifunza uzoefu na kuona ni maeneo gani programu zake zinahusiana na somo la stadi za kazi. (Picha kwa hisani ya NMF)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...