RAIS Mstaafu wa awamu ya pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi, akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 10 kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio (kushoto), ambayo waliiahidi kwa Msajili wa Hazina kwa ajili ya kuchangia wahanga wa maafa ya tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa PPF, Lulu Mengele.
RAIS Mstaafu wa awamu ya pili, Alhaji Ali Hassani Mwinyi (wa tatu kushoto)  akiongoza matembezi ya kuchangia wahanga wa tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera na maeneo ya jirani. Wengine alioambatana nao ni Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Augustine Maige, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi, Naibu Waziri (Ofisi ya Waziri Mkuu), Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Dkt. Abdallah Possi, Mbunge wa Jimbo la Muleba, Prof. Anna Tibaijuka pamoja na wengine wengi.
Mkurugenzi Mkuu wa PPF, William Erio, akizungumza katika hafla hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...