Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Waziri wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mhe,Ali Abeid Karume pamoja na Viongozi mbali mbali mara alipowasili Kijiji cha Jendele Wilaya ya Kati Unguja kuangalia maendeleo ya Ujenzi wa barabara ya Jendele-Unguja Ukuu Mkoa wa Kusini Unguja leo ,inayojengwa na Idara ya Ujenzi ya Mfuko wa Barabara wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Fundi Mkuu wa Mitambo ya ZBC Redio Nd,Ali Aboud (wa pili kushoto)alipotembelea mitambo ya kurushia matangazo ya masafa ya Kati kiliopo Bungi Miembemingi leo
Picha na Ikulu. 20/09/2016.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...