Hatimaye
mvutano wa baadhi ya wanasiasa na wananchi kuhusu kuirejesha tena stendi kuu ya
Mabasi kati kati ya mji wa Songea badala ya kuendelea kuwepo eneo la Msamala umefikia
kikomo, Ni baada ya Kamati ya wataalamu mbalimbali wa Manispaa ya Songea kutoa
ripoti yao ya utafiti na kupendekeza stendi ya Msamala kuwa kituo kikuu cha
Mabasi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...