Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kulia akizungmza na Balozi wa Jamhuri ya Korea Nchini Tanzania Bwana Song Geum Young (katikati) Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar. Wa kwanza kutoka kushoto ni Msaidizi wa Ubalozi wa Jamuhuri ya Korea Bwana Songwon Shin.
Balozi wa Jamhuri ya Korea Nchini Tanzania Bwana Song Geum Young akifafanua jambo wakati akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...