Mwanafunzi wa shule ya msingi Genesis, Andrelia Muga (kushoto),
akichuana na wanafunzi wenzake ili kumpata mshindi    katika shindano
la kutamka herufi lililodhaminiwa na kampuni ya Saruji Tanga ambalo
zaidi ya shule 50 za jijini Dar es Salaam zilishiriki.
 Mwanafunzi wa shule ya msingi Genesis,Aggrey Marealle (kushoto),
akichuana na wanafunzi wenzake ili kumpata mshindi    katika shindano
la kutamka herufi lililodhaminiwa na kampuni ya Saruji Tanga ambalo
zaidi ya shule 50 za jijini Dar es Salaam zilishiriki jijini humo
juzi.
 Wanafunzi wa shule ya msingi Genesis wakishangilia baada ya shule
yao kuibuka kidedea katika shindano la kutamka herufi lililodhaminiwa
na kampuni ya Saruji Tanga ambalo zaidi ya shule 50 za jijini Dar es
Salaam zilishiriki.

 Ofisa Masoko na Mawasiliano wa Kampuni ya Saruji Tanga, Hellen
Maleko (kushoto), akikabidhi kikombe kwa wanafunzi wa shule ya msingi
Genesis, baada ya shule yao kuibuka washindi wa jumla wa shindano la
kutamka herufi lililodhaminiwa na kampuni ya Saruji Tanga ambalo zaidi
ya shule 50  Dar es Salaam zilishiriki jijini humo jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...