Mkurugenzi Mkazi wa Shirika lisilo la Kiserikali la Room to Read, Peter Mwakabwale akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuelekea siku ya kusoma dunia ambapo kilele chake ni Kesho Septemba 9.
Hapa
kila mmoja anaelewa anacho kisoma hii ni kutokana na kuwa na walimu
ambao wamewezeshwa na Shirika la Room to Read ambapo wamekuwa wanaweza
kusoma na kuandika vizuri.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...