Wachezaji wa Timu ya Simba wakishangilia ushindi wao walioupata dhidi ya Timu ya Mtibwa Suger, katika Mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam. Simba imeshinda Bao 2-0.
 Kipa wa Timu ya Mtibwa Suger, akiokota mpira wavuni baada ya kufungwa na Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mavugo (anaeonekana nyuma ya nyavu akishangilia), katika Mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam. Simba imeshinda Bao 2-0.
 Mchezaji wa Simba, Laudit Mavugo akionyesha uwezo wake mbele ya Beki wa Mtibwa Suger, Salim Abdallah, katika Mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam. Simba imeshinda Bao 2-0.
 Nahodha wa Timu ya Simba, Jonas Mkude akichuana kuwania mpira na Mchezaji Kelvin Idd, katika Mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam. Simba imeshinda Bao 2-0.
 Mshambuliaji wa Mtibwa Suger, Ibrahim Juma, akijaribu kutaka kumtoka Kiungo wa Simba, Mzamiru Yassin, katika Mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam. Simba imeshinda Bao 2-0.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...