SIMU.TV: Madereva wanne kutoka Tanzania waliokuwa wanashikiliwa na waasi wa Maimai kutoka DRC wameokolewa leo na jeshi la DRC. https://youtu.be/UUOkuaF1skY
SIMU.TV: Kamati ya maudhui ya TCRA imekifungulia kituo cha Magic fm baada ya kuridhishwa na utetezi wake dhidi ya tuhuma za kurusha maudhui ya uchochezi.https://youtu.be/J8crWWTzj9s
SIMU.TV: Makamu wa rais Samia Suluhu Hassan awataka wakuu wa majeshi ya polisi nchi za kusini mwa Afrika SADC kutorudi nyuma katika kulinda mipaka ya nchi ili kupunguza uhalifu. https://youtu.be/OZFns3_jLho
SIMU.TV: Kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Tarime imeharibu zaidi ya ekari 30 ya zao haramu la bangi pamoja na kukamata kilo 50 za mbegu za bangi.https://youtu.be/pMFwbEXMt1g
SIMU.TV: Watanzania watakiwa kutembelea hospitali mbalimbali pale wanapopotelewa na ndugu zao badala ya kwenda vituo vya polisi tu. https://youtu.be/RHHqtr-3TDU
SIMU.TV: Serikali wilayani Rufiji yawataka wafugaji kuondoka maeneo ambayo hayajatengwa kwa ajili ya mifugo ili kuondoa migogoro kati yao na wakulima.https://youtu.be/ca4e5rtNjO8
SIMU.TV: Serikali imetoa ratiba ya watumishi wake kuhamia makao makuu ya nchi Dodoma ambapo rais Magufuli atahamia mwezi juni 2020. https://youtu.be/2Cugaqsz76s
SIMU.TV: Serikali yatenga shilingi milioni 250 ili kuanza ujenzi wa bandari ya uvuvi katika manispaa ya Mtwara Mikindani. https://youtu.be/B6b2-CagYnU
SIMU.TV: Baadhi ya wafanyabiashara katika mji wa Mbinga wasema teknolojia ya huduma za kifedha katika simu za mikononi imewarahisishia kazi zao.https://youtu.be/B1QNwae5RCk
SIMU.TV: Azam fc wanaendelea kutamba kuwa wako vizuri kuwakabili Simba hapo kesho kwenye mchezo wao wa ligi kuu Tanzania bara. https://youtu.be/4CBw_SUybsY
SIMU.TV: Kocha mkuu wa Mwadui Fc amesema atahakikisha ataifunga Yanga kesho katika mchezo wake wa ligi kuu Tanzania bara. https://youtu.be/IKg1fkgr4nE
SIMU.TV: Jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam lawaonya mashabiki wa soka watakaosababisha vurugu katika mchezo wa Azam fc na Simba.https://youtu.be/lTZiEwn_Oh4
SIMU.TV: Manchester United imeanza vibaya michuano ya ligi ndogo ya Ulaya baada ya kukubali kichapo cha bao moja kwa bila . https://youtu.be/QeG1MQ2LSW8
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...