SIMU.TV: Wananchi mkoani Mwanza, wametakiwa kuwa makini na watu wanaojifanya kununua ardhi kwa kujifanya wawekezaji; https://youtu.be/9JuSAQkCeUM

SIMU.TV: Serikali wilayani Kaliua mkoani Tabora imewaondoa wananchi waliovamia maeneo ya misitu ya Isawima ili kulinda maliasili hizo; https://youtu.be/mRl3fHzhOi0

SIMU.TV: Wakazi wa jamii ya wafugaji wilayani Monduli mkoani Arusha, wameishukuru serikali ya awamu ya tano kwa kumaliza migogoro ya ardhi kati yao na wakulima;https://youtu.be/wFBELkvrsQ8

SIMU.TV: Serikali imeahidi kuwawezesha kwa mafunzo watanzania wakiwemo wajasiriamali wadogo ili kuweza kufanikisha Tanzania ya viwanda;https://youtu.be/nlZZufYbeTY

SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Dar Es salaam Paul Makonda, amewataka madereva wa bodaboda pamoja na bajaj kuvaa mavazi maalumu yatakayowatambulisha sehemu watokako na wanakopaki; https://youtu.be/kzrt9hEPjDU

SIMU.TV: Wakuu wa idara mbalimbali katika halmashauri ya Ukerewe wametakiwa kubuni miradi ya maendeleo ili kuwapunguzia wananchi ukali wa maisha;https://youtu.be/MipNYTX08Vk

SIMU.TV: Viongozi wa dini na taasisi zingine mkoani Kigoma wamesema wanaunga mkono jitihada za serikali za kuwabaini watu wote wanaotumia vyeti bandia kujipatia kazi;https://youtu.be/rGgx5qiHIQM

SIMU.TV: Timu ya taifa ya vijana Serengeti boys imefanikiwa kuifunga timu ya taifa ya vijana ya Congo DRC kwa jumla ya mabao 3-2; https://youtu.be/WYWbDhNGIO8
SIMU.TV: Timu ya taifa ya wanawake The Kilimanjaro Queens, imeendeleza wimbi lake la ushindi kwa kuiburuza timu ya taifa ya wanawake ya Uganda kwa jumla ya mabao 4-1;https://youtu.be/wG8HVfrV9Fo

SIMU.TV: Timu ya Stand United wameifunga timu ya JKT Ruvu kwa mabao 2-1 katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa katika dimba la Kambarage mkoani Shinyanga;https://youtu.be/YlokN2qS0EY

SIMU.TV: Timu ya Manchester United imeendelea kuwa na matokeo mabaya baada ya kukubali kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Watford kwenye mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza; https://youtu.be/RXA511dj_WY

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...