SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa, amepokea msaada kutoka kwa umoja wa watanzania waliosoma nchini China, benki ya Exim na Ubalozi wa Japan kusaidia wahanga wa tetemeko Kagera; https://youtu.be/EX4RpLATa54
SIMU.TV: Watu wasiojulikana wamewaua kwa kuwapa minofu yenye sumu mbwa mwitu zaidi ya 20 katika mamlaka ya hifadhi ya wanyama ya Ngorongoro;https://youtu.be/8DwsrHRNCrg
SIMU.TV: Naibu waziri wa habari Anastazia Wambura, ametembelea ofisi ya mashariki iliyopo Morogoro na kuwaahidi kuwapatia kiwanja ili kuondokana na kulipa kodi;https://youtu.be/pmRDHXKLEa0
SIMU.TV: Gavana wa benki kuu Prof Benno Ndulu, amesema huduma za kibenki kwa njia ya simu zimekuwa kichocheo kikubwa cha ukuaji wa uchumi;https://youtu.be/KSxEa0xbHls
SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Geita Meja Generali Ezekiel Kihunga amewataka wafanyabiashara mkoani humo kurasimisha biashara zao Brela;https://youtu.be/1h7uACpEE2I
Mkuu wa chuo cha kodi Prof Isaya Jairo amewataka watanzania na wahusika wa masuala ya kodi kuzifahamu sheria za kodi ili kuweza kufanya kazi zao kwa weledi;https://youtu.be/2ck2Xo6-Mc8
SIMU.TV: Wafanyabiashara wa vinyago eneo la Mwenge jijini Dar Es salaam, wameiomba serikali kupunguza ushuru kwa wanunuzi wa bidhaa zao; https://youtu.be/tpV4R88Lj5k
SIMU.TV: Soko la hisa jijini Dar Es salaam limelalamikia kupungua kwa mauzo ya hisa kwa asilimia 68 ukilinganisha na wiki iliyopita; https://youtu.be/T_LmW5Zw4nM
SIMU.TV: Makampuni na taasisi binafsi yameombwa kujitokeza kudhamini ligi kuu ya Tanzania ili kuongeza ushindani katika ligi hiyo; https://youtu.be/XviO6GGjtVk
SIMU.TV: Kocha wa timu ya Toto African Logacian Kaijage amesema hashangai kuona timu ya wanawake ya Zanzibar kwenye mashindano ya Challenge kwa sababu bado hawajajipanga kikamilifu; https://youtu.be/EJZB-wtxC2c
SIMU.TV: Timu ya netiboli ya wabunge na TBC Queens wamepanga kucheza mchezo ili kuhamasisha kuchangisha fedha na kusaidia maafa yaliyotokea mkoani Kagera;https://youtu.be/JIqCcoukRoU
SIMU.TV: Fahamu asili na chanzo cha ngoma ya jadi ya Sangule maarufu wilayani Ulanga mkoani Morogoro; https://youtu.be/Gnc1xmv_y7s
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...