SIMU.TV: Waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba, ametoa wito kwa viongozi nchini kuwatumikia wananchi wao na kuacha kutumia madaraka kujinufaisha wenyewe;https://youtu.be/OSvATdFGIQA
SIMU.TV: Waziri wa Elimu Prof Joyce Ndalichako, ameitaka tume ya vyuo vikuu nchini TCU kuvifuatilia na kufahamu sifa za vyuo nchini na sio kugeuka kuwa madalali wa vyuo;https://youtu.be/c0nGuZfHo58
SIMU.TV: Wakazi wa baadhi ya vijiji wilayani Newala mkoani Mtwara, wameelezea furaha yao ya kumalizika kwa kero ya maji baada ya kukamilika kwa mradi wa maji safi na salama;https://youtu.be/Tvm2n58KyuQ
SIMU.TV: Waziri wa viwanda na biashara Charles Mwijage, amewataka wanawake wajasiriamali kuwa na uthubutu mkubwa wa kufanya biashara kubwa kubwa;https://youtu.be/oKmk1YFTog4
SIMU.TV: Kaimu kamishina wa uchambuzi wa masuala ya fedha wa wizara ya fedha Augustini Ollao, amesema mashindano ya fedha na mikopo nchini yanasaidia kuimarisha sekta ya uchumi; https://youtu.be/UXO-DrUEoAw
SIMU.TV: Maonyesho ya 98 ya shirika la kuhudumia viwanda vidogo vidigo yanatarajia kuanza kesho mkoani Mbeya ili kutoa fursa kwa wenye wajasiriamali wadogo kujifunza;https://youtu.be/WVH3vZiYLIk
SIMU.TV: Tiketi za kielekitroniki kwa ajili ya mchezo wa Yanga na Simba tayari zimeanza kuuzwa ili kuondoa usumbufu kwa wateja ambao wengi ni wageni wa mfumo huu;https://youtu.be/_FuLusb4tko
SIMU.TV: Timu zinazoshiriki ligi daraja la nne mkoa wa kisoka wa Kinondoni zimetakiwa kuonyesha kandanda maridadi ili kuweza kuwavutia mashabiki wao;https://youtu.be/gcoYh5aVcj4
SIMU.TV: Mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu umeanzisha mashindano ya michezo kwa wananchi wanaozunguka mgodi huo ili kuweza kuwa na mahusiano mazuri na kupunguza migogoro na wananchi; https://youtu.be/TlzPUnKflRY
SIMU.TV: Mlinda mlango wa timu ya taifa ya Mauritius anashikiliwa na jeshi la polisi nchini humo kwa tuhuma za kukutwa na kete kadhaa za madawa ya kulevya;https://youtu.be/YPWuEealrMY
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...