Msanii wa muziki wa bongo flava, Seif Mwinjuma ‘sholo mwamba’ akiimba
katika tamasha la Uhondo wa Zantel lililofanyika katika viwanja vya
Temeke Mwisho, Dar es Salaam hivi karibuni ikiwa ni moja ya kampeni za kampuni ya simu ya mkononi ya Zantel kuwa karibu na wateja wake ikiwajulisha bidhaa na huduma mpya zilizopo sokoni.
 Meneja Habari na Uhusiano wa Kampuni ya simu ya Zantel, Winnes Lyaro
(kulia), akitoa maelezo kwa baadhi ya wakazi wa Temeke, Dar es Salaam
 kuhusu huduma na bidhaa  mpya zitolewazo na kampuni hiyo wakati
wa tamasha lililopewa jina la ‘uhondo wa Zantel’ lililodhaminiwa na
kampuni hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...