Bendi ya Jeshi la Askari Magereza Likiongoza maandamano Kutokea Stendi ya Mabasi ya mzunguko maharufu kwa jina la Daladala Kabwe na kuelekea katika uwanja wa Ccm Rwanda Nzovvwe Jijini Mbeya kuajili ya kuzinduwa Jengo Moja lililo jengwa na Shirika la "UNICEF" Eneo la Ilomba Jijini Hapo kwa kazi maalum ya kuwasaidia watoto wanaofanyiwa vitendo vya kikatili na kuchukuliwa hatua kali za kisheria na Dawati Hilo la Kijinsia ambalo lipo chini ya Jeshi la Polisi Mkoa Wa Mbeya pamoja na Wadau wa Dawati la Jinsia.
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh.Amos Makalla akifurahi Jambo wakati akihutubia katika uzinduzi huo wa Dawati la Jinsia Ulio fanyika katika Uwanja Wa Rwanda Nzovwe Jijini Mbeya.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh.Amos Makalla mwenye Suti ya Bluu akikata Utepe kuashiria kuwa Kituo Hicho Kimeanza kufanya kazi rasmi na Hakita munea huruma yoyote Atakae husika na kubainika ni miongoni mwa waalifu wanao fanya Vitendo vya Kikatili kwa Watoto Ikiwemo Ubakaji na Kulawiti watoto Jeshi La Polisi kupitia Dawati la Jinsia Litawashughulikia Vilivyo Waalifu na kuwafikisha kwenye Vyombo Vya Sheria.
 Baadhi ya wadau wa Dawati la Jinsia wakiburudika kwa pamoja katika Uzinduzi huo Wa Dawati la Jinsia Ulio Fanyika Uwanja wa Rwanda Nzovwe Jijini Mbeya. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...