Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Tatu Mfaume, akitoa neno mbele ya wanachama wa chama cha Ushirika cha Akiba na Mikopo cha Usalama wa Raia Saccos URA SACCOS Ltd (hawapo pichani) wakati wa hafla ya kukabidhi hati miliki za viwanja kwa wanachama wake 46 walivyoviomba toka kwa kampuni ya Makazi Solution Ltd, kupitia Ura Saccos Ltd, tukio lililofanyika mwanzoni mwa wiki hii jijini Dar es salaam, kutoka kulia ni Meneja Mkuu  Ura Saccos Ltd, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Kim Mwemfula, kushoto ni Kamishna Msaidizi wa Polisi  (ACP) Innocent Mgaya, mbaye ni mjumbe wa bodi ya Ura Saccos Ltd.
Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Tatu Mfaume, akimkabidhi hati miliki ya kiwanja mmoja kati ya wanachama wake 46 walioomba viwanja toka kwa kampuni ya Makazi Solution Ltd, kupitia Ura Saccos Ltd wanao shuhudia ni Meneja Mkuu Ura Saccos Ltd, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Kim Mwemfula, Mkurugenzi wa Kampuni ya makazi Solution Bw. Selemani Pazi, hafla iliyofanyika mwanzoni mwa wiki hii jijini Dar es salaam.
 Wanachama wa chama cha Ushirika cha Akiba na Mikopo cha Usalama wa Raia Saccos URA SACCOS Ltd, wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi  Kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Tatu Mfaume, kutoka makao makuu ya jeshi la polisi nchini, mara baada ya kumalizika kwa hafla ya kukabidhi hati miliki za viwanja kwa wanachama wake 46 walivyoviomba toka kwa kampuni ya makazi Solution Ltd, kupitia Ura Saccos Ltd, hafla hiyo ilifanyika mwanzoni mwa  wiki hii jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa kampuni ya makazi solution Ltd, Bw. Seleman Pazi, akitoa neno mbele ya wanachama wa chama cha Ushirika cha Akiba na Mikopo cha Usalama wa Raia Saccos URA SACCOS Ltd (hawapo pichani) wakati wa kukabidhi hati miliki za viwanja kwa wanachama wake 46 walivyoviomba toka kwa kampuni hiyo kupitia Ura Saccos Ltd.
(Picha zote na Demetrius Njimbwi-Jeshi la Polisi)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...