Watoto wa Kituo cha Kulelea Watoto Yatima cha Upendo cha Buguruni jijini Dar es Salaam wakiwa katika hafla ya kukabidhiwa misaada mbalimbali ikiwemo mafuta ya kupikia, sabuni, unga, mchele na sukari kutoka UTT AMIS.
Ofisa Mwandamizi Idara ya Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS, Martha Mashiku akizungumza na watoto wanaolelewa katika Kituo cha Watoto Yatima cha Upendo kilichopo Buguruni jijini Dar es Salaam.
Ofisa Mwandamizi Idara ya Masoko na Uhusiano wa UTT Amis, Martha Mashiku (wa pili kulia) akikabidhi sehemu ya msaada wa vitu mabalimbali kwa mmoja wa watoto wanaoishi katika Kituo cha Kulelea Yatima cha Upendo cha Buguruni jijini Dar es Salaam, Abdi Mohamed. Kushoto ni Ofisa Masoko wa UTT AMIS, Waziri Ramadhani na kulia ni Ofisa Masoko UTT AMIS, Pauline Kasilati.
Ofisa Mwandamizi Idara ya Masoko na Uhusiano wa UTT Amis, Martha Mashiku (wa pili kulia) akikabidhi sehemu ya msaada wa vitu mabalimbali kwa mmoja wa watoto wanaoishi katika Kituo cha Kulelea Yatima cha Upendo cha Buguruni jijini Dar es Salaam, Nasra Heri. Kushoto ni Ofisa Masoko wa UTT AMIS, Waziri Ramadhani na kulia ni Ofisa Masoko UTT AMIS, Pauline Kasilati.
Watoto wanaoishi katika Kituo cha Kulelea Yatima cha Upendo cha Buguruni jijini Dar es Salaam wakipokea msaada wa Unga, mafuta ya kupikia, sabuni, sukari pamoja na mchele.
Picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...